Sun, 5 Mar 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo wa klabu ya Brighton Moises Caicedo ametia saini ya mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia Klabu hiyo hadi mwezi Juni 2027 wenye chaguo la kuongeza mwaka mmoja zaidi.
Kiungo wa klabu ya Brighton Moises Caicedo ametia saini ya mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia Klabu hiyo hadi mwezi Juni 2027 wenye chaguo la kuongeza mwaka mmoja zaidi. Ikumbukwe Brighton walikataa kiasi cha £55m kutoka Chelsea na £70m kutoka Arsenal mwezi Januari kwaajili ya uhamisho wa kiungo huyo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live