Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Mohsine Bodda atajwa Simba

Aritz  Sd Mohsine Bodda.

Fri, 10 May 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Kocha Mkuu wa FC Nouadhibou, Aritz López Garai ameweka wazi kuwa kiungo wa timu hiyo Mohsine Bodda anajiandaa kuondoka ndani ya kikosi hicho mwishoni mwa msimu huu.

Simba SC wamekuwa wakitajwa kuiwinda saini nyota huyo raia wa Mauritania aliyelisaidia taifa hilo kufanya vyema kwenye michuano ya AFCON mwanzoni mwa mwaka huu.

Pia, klabu kadhaa za nchini Morocco zikiongozwa na Wydad Casablanca zinaiwinda saini ya kiungo huyo.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live