Sun, 16 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mwekezaji wa Klabu ya Simba SC, Mohamed Dewji 'Mo Dewji', ameteua wajumbe wa Bodi ya wakurugenzi ya Simba Sc upande wa Mwekezaji.
TAARIFA KWA UMMA:
Kwa mamlaka niliyopewa kulingana na Mkataba wa Makubaliano na Simba Sports Club Limited (Memorandum of Association) na Kanuni za Makubaliano (Articles of Association), ibara ya 40; ningependa kuwatambulisha wafuatao kuwa Wajumbe wa Bodi kwa upande wa Mwekezaji.
Salim Abdallah (Try Again) Husein Kita Zulfikha Chandu Rashid Shangazi Mohamed Nassor Crescentius Magori.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live