Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Mo Dewji: Nimeinunua Simba, nimepoteza Tsh milioni 51

Mo Dewji: Tunahitaji Golikipa Mwingine Simba Mo Dewji.

Thu, 29 Feb 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Mahojiano ya Mohamed Dewji na The Ahmed Mahmood Show amesema kuwa kitu ghali zaidi alichonunua kwenye maisha yake ni klabu ya mpira ambapo ameweka wazi kuwa aliinunua klabu ya Simba miaka mitano iliyopita.

“Nadhani kitu ghali zaidi nilichowahi kununua ni klabu ya mpira inaitwa Simba inamashabiki milioni 35, niliinunua hii klabu miaka mitano iliyopita, nimepoteza takribani Dola za marekani milioni 4 (Tsh bilioni 10.2) kwa mwaka mmoja na kwa miaka yote mitano nimepoteza Dola za Marekani milioni 20 (Tsh bilioni 51).

“Nimeifanya Simba kuwa kwenye orodha ya vilabu 10 Bora Afrika inaleta furaha kwa watu na Afrika pia ni furaha kwangu,” Rais wa Heshima na Mwekezaji wa Klabu ya Simba, Mohammed Dewji akizungumza kwenye Podcast ya Ahmed Mahmood.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live