Mon, 11 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mnigeria mwingine huyu hapa Victor Boniface wa Bayer Leverkusen ana umri wa miaka 22 na ameweka historia katika Bundesliga msimu huu.
Ameshinda tuzo nne mfululizo za Rookie kwenye miezi minne mfululizo
Agosti: Mchezaji Bora wa Mwezi
Agosti: Rookie wa Mwezi
Septemba: Rookie wa Mwezi
Oktoba: Rookie wa Mwezi
Novemba: Rookie wa Mwezi
Hadi sasa tayari ana mabao 14 na pasi 6 za mabao katika mechi zote .
Rookie ni tuzo wanayopewa wachezaji chipukizi kwenye Ligi ya (Bundesliga )wanaofanya makubwa kwenye kila mwezi lakini wale tu wenye umri chini ya miaka 23
Chanzo: www.tanzaniaweb.live