Tue, 9 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mlinzi wa kushoto wa Chelsea Ian Maatsen yuko mbioni kujiunga na Borussia Dortmund kwa mkataba wa mkopo hadi mwisho wa msimu huu.
Mlinzi wa kushoto wa Chelsea Ian Maatsen yuko mbioni kujiunga na Borussia Dortmund kwa mkataba wa mkopo hadi mwisho wa msimu huu. Ian Maatsen atasafiri leo Jumanne kuelekea Ujerumani, Vipimo vya afya vitafanyika siku ya Jumatano ili kukamikisha uhamisho huo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live