Sun, 7 Jan 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bingwa Mtetezi, Mlandege FC inasonga mbele hatua ya nusu fainali kwa kushinda mikwaju ya penalti 3-2 dhidi ya KVZ.
Bingwa Mtetezi, Mlandege FC inasonga mbele hatua ya nusu fainali kwa kushinda mikwaju ya penalti 3-2 dhidi ya KVZ. Mlandege wanamsubiri mshindi katika mchezo wa usiku kati ya Yanga SC dhidi ya APR ya Rwanda kuwania ubingwa wa michuano ya 18 ya Kombe la Mapinduzi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live