Thu, 28 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Pazia la michuano ya Mapinduzi Cup 2024 linafunguliwa leo kwa mechi ya Mlandege dhidi ya Azam FC.
Pazia la michuano ya Mapinduzi Cup 2024 linafunguliwa leo kwa mechi ya Mlandege dhidi ya Azam FC. Mechi hiyo itapigwa saa 10:15 jioni katika Uwanja wa Amaan Complex, Zanzibar huku mechi ya pili ikipigwa saa 2:15 usiku ikiwakutanisha Vital'O dhidi ya Chipukizi United.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live