Wed, 6 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Manchester United imemkabidhi majukumu maalum mkulima maarufu nchini Uingereza, Bwana Kaleb Cooper.
Bwana Cooper amepewa heshima na jukumu la kutunza nyasi za uwanja wa Old Trafford kwa ajili ya mchezo dhidi ya Chelsea utakaochezwa Jumatano usiku.
Cooper ni mmiliki wa shamba maarufu la Clarkson's Farm na shabiki lialia wa Man United.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live