Sat, 13 Jul 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo Jonas Mkude leo ameshiriki mazoezi ya kikosi cha Yanga yanayoendelea Avic Town, yakiwa ni maandalizi kuelekea msimu mpya wa mashindano 2024/25.
Mkude tayari alishaongeza mkataba wa mwaka mmoja kuendelea kuitumikia Yanga.
Kukosekana kwake katika siku za kwanza za pre-season kulipelekea kuibua tetesi huko mitandaoni kuwa ameachwa.
Nungungungu bado yupo sana Jangwani...!
Chanzo: www.tanzaniaweb.live