Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Mkude bado yupo sana Yanga

Mkudeee 70990 Jonas Mkude

Sat, 13 Jul 2024 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Kiungo Jonas Mkude leo ameshiriki mazoezi ya kikosi cha Yanga yanayoendelea Avic Town, yakiwa ni maandalizi kuelekea msimu mpya wa mashindano 2024/25.

Mkude tayari alishaongeza mkataba wa mwaka mmoja kuendelea kuitumikia Yanga.

Kukosekana kwake katika siku za kwanza za pre-season kulipelekea kuibua tetesi huko mitandaoni kuwa ameachwa.

Nungungungu bado yupo sana Jangwani...!

Chanzo: www.tanzaniaweb.live