Legend wa soka nchini Brazil Mario Zagallo amefariki leo akiwa na miaka 92 lakini anakumbukwa zaidi kama binadamu wa kwanza kushinda ubingwa wa Dunia mara mbili mfululizo kama mchezaji lakini pia kama Kocha
Sehemu ya mambo makubwa aliyoyafanya Zagallo ni kushinda Ubingwa wa Kombe la Dunia mara mbili akiwa mchezaji na mara moja akiwa kama Kocha na nyingine kama kocha msaidizi .
MIAKA ALIYOBEBA UBINGWA WA DUNIA 1958 Legend wa soka nchini Brazil MarioZagallo amefariki leo akiwa na miaka 92 lakini anakumbukwa zaidi kama binadamu wa kwanza kushinda ubingwa wa Dunia kama mchezaji lakini pia kama Kocha
Sehemu ya mambo makubwa aliyoyafanya Zagallo ni kushinda Ubingwa wa Kombe la Dunia mara mbili akiwa mchezaji na mara moja akiwa kama Kocha na nyingine kama kocha msaidizi .