Mon, 4 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Beki wa zamani wa Manchester City na Aston Villa ambaye kwa sasa ni mchambuzi Micah Richard amesema sio rahisi kwa Manchester City kuzifunga Arsenal au Liverpool.
Beki wa zamani wa Manchester City na Aston Villa ambaye kwa sasa ni mchambuzi Micah Richard amesema sio rahisi kwa Manchester City kuzifunga Arsenal au Liverpool. “Sidhani kama Man City wataifunga Arsenal na Liverpool, Anfield ni uwanja mgumu sana hata nilivyokuwa mchezaji sikuwahi kushinda kwenye uwanja ule”
Chanzo: www.tanzaniaweb.live