Sun, 17 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mke wa winga wa Yanga Mahalatse Makudubela 'Skudu', Innocentia Buthelezi akishangilia bao la mumewe alilofunga dakika ya 83 Jana Jumamosi dhidi ya Mtibwa Sugara Azam Complex, Chamazi.
Katika Mchezo huo wa Ligi Kuu Yanga waliibuka na ushindi wa mabao 4-1.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: