Fri, 17 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
TIMU ya Mkoa wa Mjini Magharibi imefanikiwa kutwaa ubingwa wa Kombe la Taifa 2021 kwa mchezo wa soka upande wa wanaume baada ya ushindi wa penalti 2-1 dhidi ya Mara kwenye fainali jana Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Upande wa wanawake soka, Arusha ndio wameibuka Mabingwa kwa ushindi wa mikwaju ya penalti pia, 4-3 dhidi ya Dar es Salaam.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live