Thu, 13 Jul 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Aliyekuwa kocha wa Geita Gold, Fred Felix ‘Minziro’ amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuwatumikia maafande wa Jeshi la Magereza Tanzania Prisons.
Aliyekuwa kocha wa Geita Gold, Fred Felix ‘Minziro’ amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuwatumikia maafande wa Jeshi la Magereza Tanzania Prisons. Mkataba huo umesainiwa kwenye ofisi za Makao Makuu ya Jeshi la Magereza yaliyopo Msalato Dodoma.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: