Fri, 21 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Uongozi wa Klabu ya Kagera Sugar umeendelea kumuamini Kocha Fred Felix Minziro kwa msimu mwingine mmoja,
Uongozi wa Klabu ya Kagera Sugar umeendelea kumuamini Kocha Fred Felix Minziro kwa msimu mwingine mmoja, Makubaliano ya Kuongeza Mkataba huo yameshafikiwa na tayari ripoti yake ya Usajili Imeshaanza kufanyiwa kazi kuelekea Msimu Ujao.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live