Sat, 18 Feb 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mlinzi wa Aston Villa, Tyrone Mings amesaini nyongeza ya mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo.
Mlinzi wa Aston Villa, Tyrone Mings amesaini nyongeza ya mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia klabu hiyo. Mkataba wa awali wa Mings (29) raia wa England ulikuwa umalizike baada ya miezi 18 lakini sasa amesaini nyongeza ambayo muda wake haujawekwa wazi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live