Fri, 27 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kwa mara ya kwanza katika historia, AC Milan waliingia uwanjani juzi kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa bila mchezaji hata mmoja wa Kiitaliano katika kikosi cha kwanza
Maignan (Ufaransa)
Theo Hernandez (Ufaransa)
Thiaw (Ujerumani)
Tomori (Canada/England)
Kalulu (Ufaransa)
Musah (Marekani)
Krunic (Bosnia and Herzegovina)
Reijders (Uholanzi)
Leão (Uholanzi)
Giroud (Ufaransa)
Pulisic (Marekani)
Kwenye game hiyo Milan alipigwa bao 3-0 na PSG
Chanzo: www.tanzaniaweb.live