Tue, 11 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya AC Milan haina mpango wa kumpa mkataba mpya mshambuliaji wa Sweden mwenye umri wa miaka 41 Zlatan Ibrahimovic.
Klabu ya AC Milan haina mpango wa kumpa mkataba mpya mshambuliaji wa Sweden mwenye umri wa miaka 41 Zlatan Ibrahimovic. Zlatan alijiunga na Milan Januari 2020 akitokea Marekani na kuisaidia Klabu hiyo kubeba ubingwa wa kwanza baada ya miaka 10.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live