Sat, 11 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchezaji wa zamani wa Chelsea Mikel Obi amemshauri Victor Osimhen kujiunga na Chelsea endapo atamalizana na Napoli kama ambavyo imekuwa ikizungumzwa.
Mchezaji wa zamani wa Chelsea Mikel Obi amemshauri Victor Osimhen kujiunga na Chelsea endapo atamalizana na Napoli kama ambavyo imekuwa ikizungumzwa. “Osimhen ni mchezaji mzuri ,ana utu na ndivyo Didier Drogba alivyokuwa,nikikaa na Victor nitamwambia kuwa ,amekaribia kiwango cha Didier na ushauri wangu kwake ni kujiunga na Chelsea."
Chanzo: www.tanzaniaweb.live