Wed, 5 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Klabu ya Coastal Union ipo kwenye hatua za mwisho za kumrejesha Kocha Bora wa mwezi May wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Juma Mgunda kwaajili ya kuiongoza Klabu hiyo kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika.
Klabu ya Coastal Union ipo kwenye hatua za mwisho za kumrejesha Kocha Bora wa mwezi May wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Juma Mgunda kwaajili ya kuiongoza Klabu hiyo kwenye michuano ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika. Taarifa kutoka ndani ya klabu hiyo zinaeleza kuwa Kocha Mgunda tayari ameshaaga ndani ya Klabu ya Simba.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live