Tue, 1 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Aliyekuwa Mshambuliaji wa kikosi cha Tanzania Prison, Ismail Mgunda amejiunga na klabu ya Ihefu ya Mbarali Jijini Mbeya.
Aliyekuwa Mshambuliaji wa kikosi cha Tanzania Prison, Ismail Mgunda amejiunga na klabu ya Ihefu ya Mbarali Jijini Mbeya. Mgunda anaenda kuvaa Jezi ya Obrey Chirwa aliyejiunga na klabu ya Kagera Sugarya Mkoani Kagera.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live