Tue, 7 May 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Maneno ya Kocha mkuu wa Simba SC Juma Mgunda baada ya kumalizika kwa mchezo wao wa jana dhidi ya Tabora United ambao Simba waliibuka na usihindi wa bao 2-0.
“Tumepata alama 3 na magoli 2 , nawashukuru wachezaji wangu kwq jitihada walisozionesha lakini cha pili nawashukuru wakiokuja kutusapoti.
“Tunajiandaa na mechi nyingine hii tayari imeisha ,sisi tutashindana haiwi mwisho mpaka ifike mechi ya mwisho , sisi tutaendelea kushindana kuhakikisha tunapata matokeo mazuri mwishoni ndio tuangalie sasa nani ni nani na kipi ni kipi.”
Chanzo: www.tanzaniaweb.live