Mon, 3 Jun 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bodi ya ligi kuu Tanzania (TPLB) imetangaza kuwa Mchezaji wa mashujaa FC, Reliants Lusajo amechaguliwa kuwa mchezaji bora wa mwezi Mei ligi kuu Tanzania bara.
Amewashinda wafuatao :
1. Reliants Lusajo (5) ☑️
2. Stephane Aziz Ki - ⚽ (6)
3. Feisal Salum - ⚽ (5)
Pia bodi imetangaza kuwa, kocha wa Simba SC, Juma Mgunda amechaguliwa kuwa kocha bora wa mwezi Mei ligi kuu Tanzania bara akimshinda, Miguel Gamondi.
Juma Mgunda mwezi Mei
◉ 7 - Mechi.
◉ 6 - Kushinda.
◉ 1 - Sare.
Miguel Gamondi mwezi Mei :
◉ 6 - Mechi.
◉ 6 - Kushinda.
◉ 0 - Sare.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live