Wed, 5 Oct 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nyota wa zamani wa Arsenal, Mesut Ozil ameweka wazi kuwa amefanyiwa upasuaji wa mgongo kwa mafanikio, lakini atakuwa nje ya uwanja kwa muda mrefu.
Kwa sasa Ozil anachezea klabu ya Istanbul Basaksehir ya Uturuki lakini ameweza kucheza mechi tatu pekee kutokana na masuala ya utimamu wa mwili wake.
Kwa jumla, amekosa mechi 31 katika kipindi cha miaka minne iliyopita kutokana na matatizo ya hayo ya mgongo.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live