Mon, 19 Dec 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Nyota wa timu ya taifa ya Argentina Lionel Messi amefanikiwa kuchukua tuzo ya mchezaji bora wa michuano ya kombe la dunia 2022, ambapo pia hii leo ameisadia timu yake kuchukua kombe hilo kwa kuifungia jumla ya magoli mawili.
Nyota wa timu ya taifa ya Argentina Lionel Messi amefanikiwa kuchukua tuzo ya mchezaji bora wa michuano ya kombe la dunia 2022, ambapo pia hii leo ameisadia timu yake kuchukua kombe hilo kwa kuifungia jumla ya magoli mawili.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live