Thu, 8 Jun 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Baada ya kumkosa Lionel Messi alieamua kutimkia Marekani, Barcelona wanafikiria kumrejesha Neymar Jr klabuni hapo.
Messi amehusishwa kutimkia MLS ligi ya Marekani. Pia imeelezwa kuwa Neymar yupo tayari kupunguza kiasi cha mshahara wake ili kurejea Barcelona.
Neymar aliwahi kukipiga Barcelona sambamba na Lionel Messi.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live