Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Messi huyoo Inter Miami, Beckham asimamia Shoo

Ac Messi Miami Combo Messi huyoo Inter Miami, Beckham asimamia Shoo

Wed, 7 Jun 2023 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Baada ya Tetesi za kuhusishwa kurudi Barcelona au kwenda Saudi Arabia, supastaa Lionel Messi amekubali kujiunga na klabu ya Inter Miami inayoshiriki Ligi Kuu ya Marekani (MLS)

Baada ya Tetesi za kuhusishwa kurudi Barcelona au kwenda Saudi Arabia, supastaa Lionel Messi amekubali kujiunga na klabu ya Inter Miami inayoshiriki Ligi Kuu ya Marekani (MLS) Asilimia za Messi kujiunga na Inter Miami zinaonekana kuwa nyingi kutokana na ushawishi mkubwa uliopo wa mmiliki wa timu hiyo, David Beckham ambaye ana uhusiano mzuri na staa huyo.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live