Sun, 27 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Lionel Messi ni mmoja wa wanasoka tajiri zaidi duniani na amekuwa miongoni mwa vinara kwa zaidi ya muongo mmoja kwa mujibu wa jarida la Forbes.
Utajiri huu wa Messi unamruhusu kutumia pesa kwa chochote anachotaka. Ukiachana na kutumia pesa kununua vitu vya kawaida kama vile gari au nguo za bei ghali.
Messi ameripotiwa kumlipa kinyozi wake wa nywele mshahara wa dola 16 000 (≈ Tsh milioni 40) kwa Mnyoo mmoja.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live