Tue, 11 Apr 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Jina la Lionel Messi linaimbwa na mashabiki wa Barcelona kila ikifika Dakika ya 10 kwenye mechi zao.
Jana ilikuwa muendelezo wa utamaduni huo ulioanza hivi karibuni kushinikiza nyota huyo arudi Catalunya.
Messi kwa sasa anakipiga katika klabu ya PSG, na mkataba wake unaelekea ukiongoni huku PSG pia wakitajwa kutaka kuachana naye.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live