Wed, 29 Nov 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchezaji wa zamani wa klabu ya Manchester United Rio Ferdinand ameambiwa na Alejandro Garnacho kuwa Messi amemu "Unfollow" kwasababu ameshindwa kuficha mahaba yake na Ronaldo.
Awali taarifa zilisema kuwa nyota huyo alipongezwa na wachezaji wenzake wote wa Argentina baada ya kufunga bao bora dhidi ya Everton lakini Messi pekee hakufanya hivyo.
Ikumbukwe Lionel Messi na Alejandro Garnacho wanacheza timu moja ya Taifa, sasa itakuwaje wakikutana huko kwenye majukumu ya timu ya Taifa ?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live