Mon, 2 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Staa wa Argentina na Inter Miami, Lionel Messi ameitaka klabu yake ya Inter Miami kumsajili kiungo fundi wa Real Madrid Luka Modric mwakani 2024.
Staa wa Argentina na Inter Miami, Lionel Messi ameitaka klabu yake ya Inter Miami kumsajili kiungo fundi wa Real Madrid Luka Modric mwakani 2024. Pia klabu ya Florida Kusini tayari imewasilisha ofa kwa kiungo huyo wa Croatia..
Chanzo: www.tanzaniaweb.live