Mon, 29 May 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Lionel Messi amefikia rekodi ya Dani Alves kama mchezaji mwenye mataji mengi zaidi katika historia ya soka.
Wachezaji wenye mataji mengi kwenye historia ya Soka;
Lionel MESSI: 43 Dani ALVES: 43
Messi amefikia rekodi hiyo baada ha kuiongoza PSG kutwaa ubingwa wa Ligue 1 huku akifunga bao lililoipatia PSG alama moja katika sare ya 1-1 dhidi ya Strasbourg.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live