Thu, 22 Dec 2022
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa Argentina, Lionel Messi amekubali kusaini nyongeza ya mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia PSG kwa mwaka mmoja zaidi mpaka 2024.
Mshambuliaji wa Argentina, Lionel Messi amekubali kusaini nyongeza ya mkataba mpya wa kuendelea kuitumikia PSG kwa mwaka mmoja zaidi mpaka 2024. Messi alihusishwa na kutimkia Marekani baada ya Inter Miami kuonesha nia ya kutaka saini yake lakini mshindi huyo wa kombe la Dunia amegoma na anataka kusalia Jijini Paris.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live