Tue, 15 Aug 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Toka Lionel Messi ajiunge na Inter Miami ya nchini Marekani, kwa mara ya kwanza kwenye historia ya klabu hiyo imeshinda michezo 5 mfululizo.
Messi alijiunga na Miami akitokea PSG baada ya kumalizika kwa Mkataba wake.
Messi amekuwa mfungaji wa magoli muhimu kwa Klabu hiyo inayomilikiwa na David Beckham.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live