Sat, 23 Sep 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Sitaki kuwa kocha baada ya kustafu kucheza mpira,malengo yangu ni kupumzika na kufurahia nikiwa karibu na familia Yangu.
Sitaki kuwa kocha baada ya kustafu kucheza mpira,malengo yangu ni kupumzika na kufurahia nikiwa karibu na familia Yangu. "Lakini nikikumbuka maneno ya Zinedine alisema wakati anacheza mpira hatakuja kuwa kocha lakini akaja kushinda Ligi ya Mabingwa Ulaya UEFA," Messi alisema.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live