Mon, 30 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mtazamo wa kocha wa Manchester City Pep Guardiola juu ya nani ashinde Ballon D’Or alipohojiwa na SkySports baada ya mechi ya jana .
“Wapo wanaosema kama Messi atashinda Ballon d'Or, hii itakuwa sio haki kwake na anapaswa kupewa Haaland ! hapana hii si kweli bali itakuwa sio haki kwa Haaland”
“Na kama Haaland atashinda, wapo watakaosema haifai kwenda kwake ! hii pia sio sawa , Wote wawili wanastahili tuzo hiyo “
Umemuelewa Pep ____?
Chanzo: www.tanzaniaweb.live