Thu, 7 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Medeama wanatamani hata robo ya walichofanya Mashabiki wa Yanga dhidi ya Al Ahly yaani kujaa uwanjani.
Mkurugenzi wa idara ya habari Patric Akoto amewalilia mashabiki wajae kwa Yanga uwanjani Ijumaa katika dimba la Baba Yara kuwaunga mkono.
Amesema wameweka kiingilio kuanzia 2000 ,4000 na 20000 katika madaraja matatu ili watu wajae
Baba yara ndipo Cr Belouizdad alopozikwa futi 6 na wajanja wa Ghana.
Yanga wana uzoefu sasa wa kutosha kucheza ugenini waliweza kuwafunga Usm Alger katika fainali kwao mbele ya mashabiki vichaa
Chanzo: www.tanzaniaweb.live