Fri, 8 Dec 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua ameisawazishia timu hiyo bao dakika ya 36 kwa mkwaju mkali baada ya kuupokonya mpira kwa Medeama.
Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Pacome Zouzoua ameisawazishia timu hiyo bao dakika ya 36 kwa mkwaju mkali baada ya kuupokonya mpira kwa Medeama. Bao la kuongoza la wenyeji Medeama limefungwa kwa mkwaju wa Penati na Jonathan Sowah
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: