Sat, 21 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchezo wa Kirafiki kati ya Yanga na Mlandege uliopangwa kuchezwa leo saa 03:30 asubuhi huko Avic Town umeahirishwa.
Mchezo wa Kirafiki kati ya Yanga na Mlandege uliopangwa kuchezwa leo saa 03:30 asubuhi huko Avic Town umeahirishwa. Kwa mujibu wa taarifa Yanga waliomba mchezo huo wa kirafiki lakini kutokana na ratiba ya Mlandege kubana wameamua kutocheza.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Related Articles: