Mechi kati ya Klabu ya Yanga na Simba iliyokuwa ichezwe Oktoba 18, 2020 imesogezwa mbele hadi Novemba 7 kutokana na uwezekano wa kuwepo kwa vikwazo vya usafiri kwa wachezaji wa Kimataifa kutokana na kalenda za FIFA – Taarifa ya Bodi ya Ligi Kuu imesema kutokana na janga la Corona Virus, nchi Duniani bado zimeweka masharti mbalimbali kuweza kudhibiti maambukizi.
Mechi kati ya Klabu ya Yanga na Simba iliyokuwa ichezwe Oktoba 18, 2020 imesogezwa mbele hadi Novemba 7 kutokana na uwezekano wa kuwepo kwa vikwazo vya usafiri kwa wachezaji wa Kimataifa kutokana na kalenda za FIFA – Taarifa ya Bodi ya Ligi Kuu imesema kutokana na janga la Corona Virus, nchi Duniani bado zimeweka masharti mbalimbali kuweza kudhibiti maambukizi.