Mon, 22 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Bodi ya ligi imetuma barua rasmi ya kuahairisha mchezo wa ligi kati ya Dodoma Jiji dhidi ya Simba uliokuwa uchezwe April 23 pale jijini Dodoma kwa sababu ya Simba kushiriki mashindano ya muungano yanayoanza April 24 hadi April 27.
Bodi ya ligi imetuma barua rasmi ya kuahairisha mchezo wa ligi kati ya Dodoma Jiji dhidi ya Simba uliokuwa uchezwe April 23 pale jijini Dodoma kwa sababu ya Simba kushiriki mashindano ya muungano yanayoanza April 24 hadi April 27.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live