Sat, 9 Oct 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Ligi Daraja la kwanza (Championship) itaendelea leo kwa michezo saba kupigwa katika viwanja tofauti.
Mechi hizo nza mzunguko wa pili zitaanza leo Oktoba 9, na mpaka sasa timu ya DTB ndio iliyopo kileleni mwa msimamo wa Ligi.
Amisi Tambwe ndio kinara wa kupasia nyavu akiwa ameshaweka kambani magoli manne baada ya bkucheza mchezo mmoja.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live