Sat, 18 Dec 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Taarifa zinadai kwamba mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Kagera Sugar na Simba huenda usichezwe baada ya nyota 13 kati ya 22 wa Simba walioenda Bukoba kuugua ghafla.
Taarifa zinadai kwamba mchezo wa Ligi Kuu Bara kati ya Kagera Sugar na Simba huenda usichezwe baada ya nyota 13 kati ya 22 wa Simba walioenda Bukoba kuugua ghafla. Endelea kuwa karibu na TanzaniaWeb.com kwa ajili ya taarifa zaidi kuhusiana na mchezo huo, hali kadhalika hali ya utimamu wa wachezaji wa Simba SC.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live