Michezo

Habari

Burudani

Biashara

Afrika

Live Radio

Nchi

Kijamii

Lifestyle

SIL

Mchezaji wa Simba: Yanga wasithubutu kumchukua Morrison

Morrison Benard Kukamatwa Bernard Morrison

Sat, 14 May 2022 Chanzo: www.tanzaniaweb.live

Kocha Msaidizi wa Namumgo na mchezaji wa zamani wa Simba Jamuhuri kiwelu Julio amesema, ni jambo jema kwa uongozi wa simba kuachana na nyota wao Bernard Morison kwani hakuwa na msaada wowote katika kuisaidi Simba icheze kama timu ndani ya uwanja zaidi uwezo wake binafsi.

Julio amesema uwezo huo ndio ulikuwa ukionekana kinyume kabisa na mahitaji soka la kileo, akiamini simba watampata Morrison mwingine kwani wamepita mastaa wengi kwenye klabu hiyo kumzidi.

Ameendelea kusema kuwa atashangazwa sana kama uongozi wa yanga wakiamua kumrejesha mchezaji huyo, ambaye aliwasumbua hapo kabla ili tu kuikomoa Simba.

Chanzo: www.tanzaniaweb.live