Mon, 15 Nov 2021
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchezaji nyota wa KaizerChiefs, Khama Billiat (31) ametangaza kustaafu kuichezea timu ya taifa ya Zimbabwe ghafla hivi leo.
Akiwa na timu ya taifa, Khama alicheza zaidi ya michezo 40 na kufunga mabao 17.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live