Thu, 26 Oct 2023
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
David Datro Fofana amesimamishwa kwa wiki moja na Union Berlin baada ya kukataa kupeana mkono na kocha mkuu Urs Fischer baada ya mchezo UEFA dhidi ya Napoli.
David Datro Fofana amesimamishwa kwa wiki moja na Union Berlin baada ya kukataa kupeana mkono na kocha mkuu Urs Fischer baada ya mchezo UEFA dhidi ya Napoli. Fofana alijiunga na Union Berlin kwa mkopo kutoka Chelsea mwezi Julai.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live