Wed, 21 Feb 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Wanawake ya Zambia, Norin Betani amefariki dunia baada ya kuugua akiwa kambini akijiandaa na Mechi ya kufuzu Olimpiki dhidi ya Ghana.
Mshambuliaji wa timu ya taifa ya Wanawake ya Zambia, Norin Betani amefariki dunia baada ya kuugua akiwa kambini akijiandaa na Mechi ya kufuzu Olimpiki dhidi ya Ghana. Norin alilazwa katika hospitali ya Chawama Level one siku chache zilizopita baada ya kuugua na baadae akatolewa.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live