Thu, 4 Apr 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Kamati ya Uendeshaji na Usimamizi wa Ligi ya Bodi ya Ligi Kuu Tanzania Bara imemfungia mechi tatu mchezaji wa Pamba FC ya Mwanza na kumtoza faini ya Sh. Milioni 2 kwa makosa ya kumpiga refa na kupiga teke mlango wa kuingilia chumba cha kubadilishia nguo hadi kuuharibu.
Soma taarifa kamili ya Bodi ya Ligi hapa chini;
Chanzo: www.tanzaniaweb.live