Wed, 27 Mar 2024
Chanzo: www.tanzaniaweb.live
Mchezaji wa klabu ya Bahir Dar Kenema Alelegn Azene mwenye umri wa miaka 26 amekutwa amejiua usiku wa kuamkia leo nyumbani kwao Arba Minch mpaka sasa haijawekwa wazi sababu ya nyota huyo kuchukua uamuzi wa kujiua.
Mchezaji wa klabu ya Bahir Dar Kenema Alelegn Azene mwenye umri wa miaka 26 amekutwa amejiua usiku wa kuamkia leo nyumbani kwao Arba Minch mpaka sasa haijawekwa wazi sababu ya nyota huyo kuchukua uamuzi wa kujiua. Azene alikuwa akicheza kama midfielder kwenye klabu ya Bahir Dar Kenema na ni miongoni mwa Wachezaji wanalipwa fedha nyingi zaidi kwenye ligi Kuu ya Ethiopia.
Chanzo: www.tanzaniaweb.live